Saturday, October 7, 2017

LIST OF SHAME TANZANIA

ORODHA YA MAFISADI (LIST OF SHAME)

VIONGOZI WA UMMA WALIOKO KATIKA ORODHA HII WAMEKIUKA NA/AU KUVUNJA MASHARTI YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO

(KWA HISANI YA WEBSITE YA CHADEMA)

KANUNI/ VIGEZO VILIVYOTUMIKA

A. USHIRIKI WA MOJA KWA MOJA KATIKA VITENDO VYA UFISADI

Katika kundi hili wamo viongozi na/au maafisa wa umma na/au mawakala na/au washirika wao katika sekta binafsi ambao kwa namna mbali mbali wameshiriki katika kupora utajiri na/au fedha za umma na hivyo kulisababishia taifa na umma wa Watanzania ufukara na/au umaskini mkubwa.

B. USHIRIKI KATIKA KUTOA MAAMUZI YA KIFISADI

Katika kundi hili wamo viongozi wa umma ambao kwa kutumia nyadhifa na/au vyeo vyao katika utumishi wa umma wamefanya maamuzi ambayo kwayo taifa limepoteza mapato na/au utajiri na rasilmali zake na kuwaneemesha raia na/au taasisi za kiuchumi na/au za kibiashara za kigeni. Kwa mfano, viongozi wa umma walioshiriki katika kusaini mikataba mibovu katika sekta za madini na/au nishati na/au maeneo mengine yenye umuhimu mkubwa kwa maisha ya taifa na jamii ya Watanzania
MISINGI YA KISHERIA/KISIASA YA ORODHA YA MAFISADI

A. KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, 1977

KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, 1977, SURA YA 2 YA SHERIA ZA TANZANIA IMEWEKA ‘MALENGO MUHIMU NA MISINGI YA MWELEKEO WA SHUGHULI ZA SERIKALI’ KUWA NI PAMOJA NA MAMBO YAFUATAYO:[1]

  1. KWAMBA “WANANCHI NDIO MSINGI WA MAMLAKA YOTE, NA SERIKALI ITAPATA MADARAKA NA MAMLAKA YAKE YOTE KUTOKA KWA WANANCHI….”;
  2. KWAMBA “LENGO KUU LA SERIKALI LITAKUWA NI USTAWI WA WANANCHI”; NA
  3. KWAMBA “SERIKALI ITAWAJIBIKA KWA WANANCHI….”
  4. ….”

Katika kutekeleza malengo na misingi ya mwelekeo wa shughuli za Serikali iliyotajwa, “… Mamlaka ya Nchi na vyombo vyake vyote vinawajibika kuelekeza sera na shughuli zake zote katika lengo la kuhakikisha:
  1. Kwamba sheria za nchi zinalindwa na kutekelezwa;
  2. Kwamba shughuli za Serikali zinatekelezwa kwa njia ambazo zitahakikisha kwamba wa Taifa unaendelezwa, unahifadhiwa na unatumiwa kwa manufaa ya wananchi wote kwa jumla na pia kuzuia mtu kumnyonya mtu mwingine;
  3. Kwamba maendeleo ya uchumi wa Taifa yanakuzwa na kupangwa kwa ulinganifu na kwa pamoja;
  4. Kwamba aina zote za dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au upendeleo zinaondolewa nchini;
  5. Kwamba matumizi ya utajiri wa Taifa yanatilia mkazo maendeleo ya wananchi na hasa zaidi yanaelekezwa kwenye jitihada ya kuondosha umaskini, ujinga na maradhi;
  6. Kwamba shughuli za uchumi haziendeshwi kwa njia zinazoweza kusababisha ulimbikizaji wa mali au njia kuu za uchumi katika mamlaka ya watu wachache binafsi;
  7. ….” [2]
Ibara ya 7(1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano imeamuru kuwa “… Serikali, vyombo vyake vyote na watu wote na mamlaka yoyote yenye kutekeleza madaraka ya utawala, madaraka ya kutunga sheria au madaraka ya utoaji haki, watakuwa na jukumu na wajibu wa kuzingatia, kutia maanani na kutekeleza masharti yote ya Sehemu hii …” ya Katiba. Katiba pia imewapa viongozi wa umma “… wajibu wa kufuata na kuitii Katiba hii na sheria za Jamhuri ya Muungano.”[3]Aidha, viongozi wa umma wamepewa “… wajibu wa kulinda mali asilia ya Jamhuri ya Muungano, mali ya Mamlaka ya Nchi na mali yote inayomilikiwa kwa pamoja na wananchi….”[4] Vile vile viongozi wote wa umma “watatakiwa na sheria kutunza vizuri mali ya Mamlaka ya Nchi nay a pamoja, kupiga vita aina zote za uharibifu na ubadhirifu, na kuendesha uchumi wa taifa kwa makini kama watu ambao ndio waamuzi wa hali ya baadaye ya taifa lao.”[5]
Licha ya masharti ya kikatiba yaliyotajwa hapo juu, viongozi wa umma waliotajwa katika Orodha hii ya Mafisadi walikuwa wanabanwa na masharti ya sheria nyingine za nchi yetu kama ifuatavyo:

B. SHERIA YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA, 1995

Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma inamtaka Rais kuhakikisha kwamba taratibu zinatengenezwa zitakazojenga maadili na kuongeza imani ya wananchi kwa uadilifu wa viongozi wa umma na katika taratibu za utoaji maamuzi ndani ya Serikali na katika sekta ya umma. Katika kutekeleza wajibu wake, Rais anatakiwa kuweka taratibu thabiti za maadili katika utumishi wa umma ambazo:
  1. Zitahakikisha kwamba kiongozi wa umma hatajiweka katika hali ambayo maslahi yake binafsi yatagongana na wajibu wake kama kiongozi wa umma;
  2. Zitaweka taratibu za wazi za maadili kuhusu migongano ya maslahi kwa viongozi wa umma wa kuchaguliwa na wa kuteuliwa;
  3. Zitapunguza uwezekano wa migongano inayotokana na maslahi binafsi kuingiliana na shughuli za umma za viongozi wa umma na kuweka taratibu za utatuzi wa migongano hiyo inapotokea.
Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma vile vile imeweka kanuni zinazotakiwa kuongoza utendaji wa viongozi wa umma:
  1. kwamba wanapokuwa madarakani, viongozi wa umma watakuwa waadilifu, wenye huruma, utulivu, umakini na watakaoendeleza viwango vya juu vya maadili ili kujenga na kuendeleza imani ya umma kwa uadilifu wa Serikali;
  2. kuhusiana na uwazi kwa wananchi, viongozi wa umma watawajibika kutekeleza wajibu wao kwa umma na kuendesha shughuli zao binafsi kwa namna ambayo itaonekana na kuthibitika kuwa ni wazi na umma na haitatosheleza kwao kutekeleza wajibu wao kwa kufuata sheria tu;
  3. kuhusiana na utoaji wa maamuzi, viongozi wa umma watatekeleza wajibu wao kufuatana na sheria na kwa maslahi ya umma;
  4. kuhusiana na maslahi binafsi, viongozi wa umma hawatakuwa na maslahi binafsi ambayo yanaweza kuathiriwa na maamuzi ya serikali wanayoshiriki katika kuyafanya;
  5. kuhusiana na maslahi ya umma, pale wanapochaguliwa au kuteuliwa, viongozi wa umma watapanga masuala yao kwa namna itakayozuia migongano ya maslahi ya wazi, iliyojificha au inayoonekana kuwepo na pale ambapo migongano hiyo inatokea kati ya maslahi binafsi na maslahi ya umma basi itatatuliwa kwa kuangalia zaidi maslahi ya umma;
  6. kuhusiana na zawadi, viongozi wa umma hawatadai au kupokea manufaa ya kiuchumi zaidi ya zawadi ndogo ndogo, ukarimu wa jadi/takrima au manufaa mengine yenye thamani ishara, isipokuwa tu kama manufaa hayo yatatokana na mkataba au mali ya kiongozi wa umma;
  7. kuhusiana na upendeleo, viongozi wa umma hawatatumia vyeo vyao rasmi katika kusaidia taasisi au watu binafsi katika mahusiano yao na serikali iwapo kufanya hivyo kutasababisha upendeleo kwa mtu yeyote;
  8. Kuhusiana na mali ya serikali ambayo viongozi wa umma hawatatumia ama moja kwa moja ama kisiri siri, au kuruhusu kutumiwa kwa mali ya serikali ya aina yoyote, ikiwa ni pamoja na mali ya serikali iliyokodishwa kwa ajili ya kumnufaisha kiongozi wa umma;
  9. Kuhusiana na ajira baada ya utumishi wa umma, viongozi wa umma hawatafanya vitendo vitakavyoshusha hadhi na heshima ya utumishi wa umma baada ya kuondoka katika utumishi ili kupunguza uwezekano wa matarajio ya ajira kuleta migongano ya maslahi kwa viongozi wa umma wanapokuwa katika utumishi wa umma; kupata upendeleo baada ya kuondoka katika utumishi wa umma; kutumia taarifa zinazopatikana kutokana na utumishi wa umma kwa maslahi binafsi; na kutumia utumishi wa umma kwa ajili ya kupatia nafasi za ajira nje ya utumishi wa umma.
A. WALIOSHIRIKI MOJA KWA MOJA KATIKA VITENDO VYA UFISADI

1. DR. DAUDI T.S. BALALI

Dr. Daudi Balali amekuwa na bado ni Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania tangu mwaka 1997. Katika kipindi hicho cha miaka kumi, Gavana Balali amehujumu taifa la Tanzania kama ifuatavyo:
  1. Kufuatana na barua ya wataalamu wa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya Serikali, ameruhusu na/au kuidhinisha na/au kunyamazia ufujaji wa fedha za umma unaodaiwa kufikia Shilingi 522, 459, 255,000 katika ujenzi wa majengo ya Benki Kuu ya Tanzania yaliyoko barabara ya Mirambo, Dar es Salaam na Gulioni, Zanzibar. Aidha taarifa kutoka vyanzo vingine zinaonyesha kwamba mwaka 1998 kampuni ya Skanska Jensen ya Sweden ilituhumiwa kutoa hongo ya Dola za Marekani milioni 5 kwa Gavana Balali tuhuma zilizopelekea kampuni hiyo kupigwa marufuku kushiriki tenda ya ujenzi wa majengo hayo. Hata hivyo, katika mazingira yanayoashiria ufisadi mkubwa, kampuni ya Group 5 ya Afrika ya Kusini ambayo ni kampuni tanzu ya Skanska Jensen ilipewa tenda ya kujenga majengo hayo ya Benki Kuu;
  2. Kufuatana na barua iliyotajwa katika aya ya (i) hapo juu, Gavana Balali aliidhinisha na/au kuruhusu na/au kunyamazia malipo ya Dola za Marekani 118,396,460.36 zilizopelekwa katika akaunti isiyojulikana ya Benki ya Nedbank Ltd. ya Afrika Kusini kama malipo ya madeni ya kampuni muflisi ya Meremeta Ltd. iliyokuwa inachimba dhahabu katika eneo la Buhemba wilaya ya Musoma, Mkoa wa Mara. Kwa miaka mingi Serikali ilikuwa ikitoa taarifa za uongo kwamba Meremeta Ltd. ilikuwa ni kampuni ya Kitanzania iliyokuwa ikimilikiwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kwa ajili ya mradi wake wa Nyumbu, Kibaha, Mkoa wa Pwani. Hata hivyo, nakala ya usajili iliyotolewa na Msajili wa Makampuni wa Uingereza na Wales inaonyesha kwamba kampuni hiyo iliandikishwa nchini Uingereza tarehe 19 Agosti 1997 na ilifilisiwa huko huko Uingereza tarehe 10 Januari 2006. Aidha, taarifa ya Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) ya tarehe 31 Mei 2005 inaonyesha kwamba Meremeta Ltd. ni tawi la kampuni ya kigeni iliyosajiliwa Tanzania kama tawi tarehe 3 Oktoba, 1997. Vile vile taarifa hiyo inaonyesha kwamba hisa 50 za Meremeta Ltd. zilikuwa zinamilikiwa na Kampuni ya Triennex (Pty) Ltd. ya Afrika Kusini na hisa 50 zilizobaki zilikuwa zinamilikiwa na Serikali ya Tanzania kwa kupitia kwa Msajili wa Hazina katika Wizara ya Fedha. Inajulikana vile vile kwamba Gavana Balali aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Meremeta Ltd. kati ya mwaka 2004 na 2005. Hata hivyo, kuna utata mkubwa juu ya nani ni mmiliki hasa wa Meremeta Ltd. kwa kuwa taarifa ya BRELA inaonyesha pia kwamba makampuni mawili ya Kiingereza – London Law Services Ltd. na London Law Secretarial Ltd. – nayo yanamiliki hisa moja moja za Meremeta Ltd. Makampuni hayo yanatumia anwani moja iliyoko 84 Temple Chambers, Temple Avenue, jijini London. Haijulikani ni kwanini Gavana Balali aliruhusu fedha za umma kutumika kulipia madeni yote ya kampuni ambayo Serikali ilikuwa inamiliki hisa 50 tu wakati makampuni mengine ya kigeni yalikuwa yanamiliki hisa 52. Na kama ilivyosema barua ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu, uhalali wa Serikali kulipa madeni ya Meremeta Ltd. kwa Nedbank Ltd. badala ya kuiacha benki hiyo kudai malipo hayo kutoka kwa mfilisi wa kampuni hiyo sawa na wadeni wengine haujulikani;
  3. Kufuatana na barua ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu, Gavana Balali aliruhusu na/au kuidhinisha na/au kunyamazia malipo ya Dola za Marekani 13,736,628.73 kwa kampuni ya Tangold Ltd. Katika hotuba yake Bungeni ya tarehe 27 Juni 2007, Waziri wa Madini na Nishati Mheshimiwa Nazir Karamagi alidai kwamba “… mali na madeni ya MEREMETA yamehamishiwa kwenye kampuni mpya ya TANGOLD ambayo inamilikiwa na Serikali kwa asilimia mia moja.” Hata hivyo, barua ya BRELA ya tarehe 4 Julai 2007 inatamka wazi kwamba “Tangold Limited ni kampuni ya kigeni iliyosajiliwa kwa mara ya kwanza nchini Jamhuri ya Mauritius, na baadae kuandikishwa nchini Tanzania kama tawi la kampuni ya kigeni.” Barua hiyo inaongeza kwamba kampuni hiyo ilipewa hati ya kutimiza masharti ya Tanzania mnamo tarehe 20 Februari 2006 na kwamba Katiba ya kampuni hiyo haikuonyesha “majina ya wanahisa wa kampuni na mgawanyo wa hisa.” Barua hiyo ya BRELA inaonyesha kwamba wakurugenzi wa Tangold Limited ni pamoja na Gavana Balali, Gray S. Mgonja ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Andrew J. Chenge ambaye ni Waziri wa sasa wa Miundo Mbinu, Patrick W.R. Rutabanzibwa ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Vincent F. Mrisho ambaye ni Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu. Aidha fomu Na. 1F inayohusu usajili wa kampuni za kigeni iliyowasilishwa BRELA na mawakili wa Tangold Limited na kusainiwa na Gavana Balali tarehe 20 Mei 2005 inaonyesha kwamba kampuni hii imetokea “Jamhuri ya Mauritius” na anwani yake iko Suite 520, Barkly Wharf, Le Caudan, Waterfront, Port Louis, Mauritius. Hivyo ndivyo kinavyoonyesha cheti cha usajili kilichotolewa na Msajili wa Makampuni wa Jamhuri ya Mauritius mnamo tarehe 5 Aprili 2005 na pia leseni ya biashara iliyotolewa kwa Tangold Ltd. Port Louis nchini Mauritius tarehe 8 Aprili 2005. nyaraka hizi pia zinaonyesha kwamba Tangold Limited ni kampuni binafsi (private company limited by shares). Kuna utata zaidi kwani kifungu cha 7(e) cha Katiba ya Tangold Ltd. kinaruhusu hisa za wanaomiliki kampuni hiyo binafsi kuhamisha hisa zao kwa wanandoa, baba, mama, watoto, wajukuu au wakwe zao wa kike au wa kiume! Sasa kama ni kweli kwamba Tangold Ltd. inamilikiwa na Serikali ya Tanzania kwa asilimia mia moja, je nani ni mke au mume au baba au mama au motto au mjukuu au mkwe wa kike au wa kiume wa Serikali ya Tanzania ambaye anaweza kuhamishiwa hisa za kampuni hiyo? Katika barua yake ya ukaguzi, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu alidai kwamba Ofisi yake ilishindwa kuelewa uhalali wa malipo ya dola za Marekani 13,340,168.37 yaliyofanywa na Benki Kuu kwa Tangold Limited;
  4. Gavana Balali aliruhusu na/au kuidhinisha na/au kunyamazia mkopo usio na riba wa Dola za Marekani 5,512,398.55 kwa kampuni ya Mwananchi Gold Co. Ltd. kati ya mwaka 2004 na tarehe 30 Juni 2006. Kati ya fedha hizo, deni la dola 2,807,920 limedhaminiwa kwa dhahabu ghafi ambayo ingenunuliwa kutokana na fedha za mkopo zilizotolewa na Benki Kuu yenyewe! Kwa maana rahisi ni kwamba kampuni ya Mwananchi Gold haijatoa dhamana yoyote inayoeleweka kwa mabilioni ya shilingi ilizokopeshwa na Benki Kuu chini ya Gavana Balali. Kwa taarifa ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu, hadi kufikia mwezi Desemba 2006 Mwananchi Gold Co. Ltd. ilikuwa imeshindwa kulipa hata riba ya mkopo huo kwa kiasi cha dola za Marekani 62,847.91. “Katika mazingira haya”, inasema barua ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu, “hatukuweza kujiridhisha kwamba deni la dola la Marekani 5512398.55 inalodaiwa (Mwananchi Gold Co. Ltd.) hadi kufikia tarehe 30 Juni 2006 linaweza kulipika.” Je, ni kampuni gani hii iliyopewa mamilioni ya fedha za umma katika fedha za kigeni bila kudaiwa riba au kupewa kipindi maalumu cha kulipa mkopo huo? Kufuatana na taarifa za BRELA, Mwananchi Gold Co. Ltd. ni kampuni binafsi ambayo wanahisa wake ni Benki Kuu ya Tanzania yenye hisa 500, Shirika la Maendeleo la Taifa (hisa 500), Mwananchi Trust Co. Ltd. (hisa 1,123) na Chimera Co. Ltd. (hisa 500). Kampuni hii ilisajiliwa kama kampuni binafsi tarehe 12 Desemba 2002. Mawakili wake ni kampuni ya mawakili ya Nyalali, Warioba & Mahalu Associates ikiwashirikisha aliyekuwa Jaji Mkuu wa Tanzania wakati huo marehemu Francis L. Nyalali, Waziri Mkuu wa zamani Joseph Sinde Warioba na aliyekuwa balozi wa Tanzania nchini Italia Profesa Costa R. Mahalu. Wakurugenzi wa Mwananchi Gold ni Joseph Sinde Warioba, Gavana Daudi Balali, Col. J. Simbakalia, Vulfrida Grace Mahalu, Yusuf H. Mushi na raia wawili wa Italia, Paolo Cesari na Patrizio Magrini. Vulfrida Mahalu ni Ofisa Mkuu Mtendaji wa kampuni binafsi ya VMB Holdings (1996) Ltd. na pia ni mke wa Profesa Mahalu ambaye kwa sasa anakabiliwa na tuhuma za kuhujumu uchumi kutokana na madai ya wizi wa zaidi ya shilingi bilioni tatu za Serikali wakati akiwa balozi wa Tanzania nchini Italia! Kanali Simbakalia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Taifa na Yusuf Mushi ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni binafsi ya Business Machines Consultants (T) Ltd;
  5. Gavana Balali aliruhusu na/au kuidhinisha na/au kunyamazia malipo ya shilingi 131,950,750,000 kwa watu wasiojulikana wanaodaiwa kuingiza fedha za kigeni nchini. Vile vile Gavana Balali anadaiwa kuidhinisha malipo ya shilingi bilioni 4,228,658,000 kwa watu wasiojulikana wanaodaiwa kuingiza fedha za kigeni nchini. “Katika mazingira haya”, inasema barua ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya Serikali, “hatukuridhika na uhalali wa hasara ya shillingi bilioni 131.9 zinazoonekana katika taarifa za fedha hadi kufikia tarehe 30 Juni 2006….” Kwa mantiki hiyo, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu aliiasa Benki Kuu kuanzisha uchunguzi wa malipo yaliyosababisha hasara ya shilingi 131,950,750,000 na shilingi 4,228,658,000 zilizolipwa kama malipo ya madeni ya nje. Waziri wa Fedha Zakia Meghji mwenyewe amekiri kuwepo kwa matumizi mabaya ya fedha za umma katika akaunti za malipo ya madeni ya nje katika barua yake kwa Mkurugenzi wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). IMF yenyewe katika taarifa kwa vyombo vya habari ya tarehe 27 Juni 2007 imetamka kwamba “Serikali (ya Tanzania) imekwisha kusimamisha malipo kutoka akaunti hiyo hadi uchunguzi huo utakapokamilika.” Wakati Serikali ikitoa taarifa hizi kwa IMF imekataa kata kata kutoa taarifa hizi kwa umma wa Watanzania wala wawakilishi wao Bungeni.
A. WALIOSHIRIKI MOJA KWA MOJA KATIKA VITENDO VYA UFISADI

2. ANDREW J. CHENGE

Mheshimiwa Andrew Chenge ni Mbunge wa Bariadi Magharibi na Waziri wa Miundombinu katika Serikali ya sasa ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Kabla ya hapo, Mheshimiwa Chenge alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa miaka yote kumi ya utawala wa Rais Benjamin W. Mkapa. Kwa wadhifa huo, Mheshimiwa Chenge ndiye alikuwa “mshauri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano juu ya mambo ya sheria na … aliwajibika kutoa ushauri kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano kuhusu mambo yote ya kisheria, na kutekeleza shughuli nyinginezo zozote zenye asili ya au kuhusiana na sheria….”[6] Katika kipindi hicho cha miaka kumi na mbili, Mheshimiwa Chenge amehujumu taifa la Tanzania kama ifuatavyo:
  1. Kama Mkurugenzi katika kampuni ya kigeni ya Tangold Limited alishiriki na/au kufaidika na malipo haramu ya dola za Marekani 13,736,628.73 ambazo zimeelezewa kwa kirefu katika sehemu inayomhusu Gavana Balali;
  2. Kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mheshimiwa Chenge ameshiriki kuishauri vibaya na/au kutokuishauri vizuri Benki Kuu ya Tanzania na kusababisha ufujaji wa mabilioni ya fedha za umma ambayo yameelezewa katika sehemu inayomhusu Gavana Balali;
  3. Kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mheshimiwa Chenge ameshiriki moja kwa moja katika kutoa ushauri kwa Serikali na/au Wizara ya Nishati na Madini kuingia mikataba mibovu na makampuni mbali mbali ya madini ya kimataifa ambayo kwayo taifa limepoteza mabilioni ya fedha za kigeni. Kwa mfano, katika hotuba yake Bungeni tarehe 6 Novemba 2006, aliyekuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mheshimiwa Bernard Membe alitoa taarifa kwamba katika kipindi cha miaka mitatu hadi kufikia 2006, makampuni ya uchimbaji dhahabu yaliyoko Tanzania yaliuza dhahabu yenye thamani ya shilingi bilioni 2,340 wakati ambapo makampuni hayo yalilipa mrahaba na kodi nyinginezo kwa Serikali za shilingi bilioni 72. Katika kikao cha Bunge la Bajeti la mwaka huu, Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mheshimiwa William Ngeleja aliliambia Bunge kwamba katika kipindi cha kuanzia mwaka 1998 Mgodi wa kwanza wa dhahabu wa Lusu Nzega ulipofunguliwa hadi mwaka huu, makampuni ya uchimbaji dhahabu yaliuza nje dhahabu yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 2.614 wakati Serikali ikiambulia mrahaba wa dola milioni 78 tu! Endapo Mwanasheria Mkuu wa Serikali Chenge angeishauri vema Serikali ya Jamhuri ya Muungano kama alivyotakiwa na Katiba ya nchi yetu, taifa lisingekuwa linapoteza utajiri wake wa madini kwa kiasi kikubwa namna hii.

3. BASIL P. MRAMBA

Mheshimiwa Basil Mramba ni Mbunge wa muda mrefu wa Jimbo la Rombo na Waziri wa Viwanda na Biashara na kwa miaka kumi ya utawala wa Rais Mkapa alikuwa ndiye Waziri wa Fedha. Katika kipindi hicho cha miaka kumi, Mheshimiwa Mramba amehujumu taifa la Tanzania kama ifuatavyo:
  1. Kwa kutumia wadhifa wake kama Waziri wa Fedha, alishinikiza kampuni ya Alex Stewart (Assayers) Government Business Corporation ya Washington DC, Marekani kupewa kazi ya kukagua mahesabu ya makampuni ya uchimbaji dhahabu. Chini ya mkataba wake na Serikali ya Tanzania, Kampuni hiyo inalipwa asilimia 1.9 katika ya asilimia 3 za mrahaba inaolipwa Serikali ya Tanzania na makampuni ya madini ya dhahabu. Kufuatana na barua ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu, katika mwaka wa fedha 2005/06, Alex Stewart (Assayers) walilipwa shilingi 14,175,753,189.46 kama malipo ya ukaguzi wa mahesabu ya makampuni ya dhahabu, ijapokuwa “hakuna ripoti za ukaguzi zilizowasilishwa na wakaguzi hawa kuhusu ukaguzi uliofanywa katika mwaka 2005/06”! Vile vile Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu alisema katika barua yake kwamba “hakuna ushahidi wowote wa kuthibitisha kwamba wakaguzi hawa wa dhahabu walipatikana kwa kufuata utaratibu wa zabuni ya ushindani.”
  2. Vile vile kuna taarifa za kuwepo kwa rushwa na/au ufisadi mkubwa kuhusiana na mkataba kati ya Serikali na Alex Stewart Assayers. Barua pepe iliyoandikwa na Erwin Flores ambaye ni Makamu wa Rais Mtendaji wa kampuni hiyo ya Novemba 14, 2006 inamtaja mtu mmoja mwenye jina la Bwana Basil ambaye ana wadhifa wa Waziri katika serikali ya Jamhuri ya Muungano na kuwa yeye pamoja na wenzake ambao hawakutajwa wana asilimia 12.5 za hisa kwenye kampuni hiyo na kuwa analipwa na kampuni hiyo. Kwa mujibu wa Flores, hakuwezi kukawa na ushahidi wowote kuthibitisha kwamba ‘Bwana Basil’ anapokea malipo kutoka kwa Alex Stewart kwa vile malipo yote kwake yamekuwa yakifanyika nje ya nchi. Kwa kadri tunavyofahamu, mtu pekee aliyekuwa waziri katika serikali ya Awamu ya Tatu na ambaye pia ni waziri katika Serikali ya Awamu ya Nne na ambaye ana jina la ‘Basil’ ni Mheshimiwa Basil Pesambili Mramba. Tumemtaka Waziri wa Fedha kutupatia nakala ya Mkataba kati ya Benki Kuu na Alex Stewart, na kuwataka Mheshimiwa Basil Mramba na Erwin Flores walete maelezo yao kwetu kwa mujibu wa Sheria ya Mamlaka, Haki na Kinga za Bunge ya mwaka 1988 kwa barua yetu ya tarehe 18 Julai 2007 ili waweze kujibu tuhuma hizi. Bado tunasubiri majibu hayo.
  3. Mheshimiwa Mramba amehusishwa pia na ufujaji na/au matumizi mabaya ya fedha za umma na uuzaji holela wa rasilmali za taifa letu. Kashfa hizo ni pamoja ni ununuzi wa rada ya kijeshi, ununuzi wa ndege ya Rais, na ubinafsishaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) na National Microfinance Bank (NMB).

4. GRAY S. MGONJA

Bwana Gray Mgonja ni Katibu Mkuu wa siku nyingi wa Wizara ya Fedha. Vile vile ni Mkurugenzi wa Benki Kuu ya Tanzania na anashikilia nafasi ya ukurugenzi katika kampuni ya kigeni ya Tangold Limited ambayo maelezo yake tumeyatoa kuhusiana na ufisadi unaomhusu Gavana Balali na Andrew Chenge. Kwa kuzingatia nafasi yake kama Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Mkurugenzi katika Benki Kuu na vile vile Mkurugenzi katika Tangold Ltd. iliyolipwa mabilioni ya fedha za umma katika mazingira yenye utata mkubwa, ni wazi kwamba kumekuwepo mgongano mkubwa wa kimaslahi unaomhusu Bwana Mgonja.

5. PATRICK W.R. RUTABANZIBWA

Kwa miaka mingi Patrick Rutabanzibwa alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini wakati mikataba mibovu ya madini inasainiwa na kashfa kubwa ya IPTL inatokea. Kwa sasa Bwana Rutabanzibwa ni Katibu Mkuu Wizara ya Maji na vile vile Mkurugenzi wa kampuni ya kigeni ya Tangold Limited. Ufisadi unaomhusu umeelezewa kwa kina katika maelezo yanayomhusu Gavana Balali na Andrew Chenge. Hapa pia kuna mgongano mkubwa kati maslahi yake binafsi kama Mkurugenzi wa kampuni binafsi iliyopokea mabilioni ya fedha za umma na maslahi ya umma aliyotakiwa kuyalinda akiwa kama kiongozi wa umma

6. NIMROD ELIREHEMA MKONO

Mheshimiwa Nimrod E. Mkono ni Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijiji na Mshiriki Mkuu wa kampuni ya mawakili ya Mkono & Company Advocates ya Dar es Salaam. Barua ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya Serikali inaainisha kuwa Benki Kuu imekuwa ikilipa malipo makubwa kwa Mkono & Co. Advocates hasa yale yanayohusu kesi ya Valambhia ambapo Benki Kuu inadaiwa jumla ya shilingi bilioni 60. Kwa mujibu wa barua ya wakaguzi tayari Mkono & Co. Advocates wamekwishalipwa shilingi 8,128,375,237 kwa fedha taslimu kwa kesi hiyo ambayo bado iko mahakamani. Malipo haya ni sawa na asilimia 13.5 ya deni lote inalodaiwa Benki Kuu. Hoja ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu ni kuwa kesi hii haina muda maalumu wa kumalizika na hivyo inawezekana kabisa malipo ya wanasheria yakazidi kiasi cha fedha inachodaiwa Benki Kuu.
Lakini hoja nyingine ya kimsingi ni kama malipo haya kwa mawakili yanaruhusiwa chini ya Kanuni za Malipo ya Mawakili na Uamuzi ya Gharama za Kesi za mwaka 1991, Tangazo la Serikali Na. 515 la mwaka 1991 (Advocates’ Remuneration and Taxation of Costs Rules, 1991). Kanuni hizi zimeweka kiwango cha malipo ya mawakili katika kesi ambazo fedha inayodaiwa ni zaidi ya Shilingi milioni 10 kuwa ni asilimia tatu. Kwa kufuata masharti ya sheria hii ya malipo ya mawakili, kampuni ya Mkono & Co. Advocates ilipaswa kulipwa Shilingi bilioni 1.8.
Kampuni ya mawakili ya Mkono & Co. Advocates imekuwa ikitajwa kuhusiana na kashfa kubwa za ufujaji na/au ubadhirifu wa fedha za umma kwa muda mrefu. Kwa mfano, ‘Taarifa ya Uchunguzi Kuhusu Tuhuma Dhidi ya Makampuni ya Tanfarms Ltd., Makinyumbi Estates Ltd., Centrepoint Investments Ltd., na Arusha Farms Ltd. Yanayomilikiwa na V.G. Chavda Kuhusiana na Matumizi Mabaya ya Fedha za Debt Conversion Programme’ iliyotolewa Bungeni na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi, Mheshimiwa Edward Oyombe Ayila mwezi Novemba 1994 ilisema yafuatayo kuhusu Mheshimiwa Nimrod Mkono: “Mhe. Spika si nia yangu kulichosha Bunge lako tukufu na hotuba ndefu lakini ni vizuri nikaelezea juu ya uhusiano unaotia mashaka kati ya V.G. Chavda na Mashamba yake na Subash Patel mwenye makampuni ya DECO ART, MM Motors, MM Garage, Hotel Sea Cliff, City Bureau De Change na Nimrod Mkono, Wakili wa kujitegemea ambaye pia ni Mkurugenzi katika makampuni ya AZANIA AGRICULTURAL ENTERPRISES, LIBERTY LEATHER SHOE LTD., AZANIA EXIMCO, n.k. (AIMS GROUP OF COMPANIES)
Baada ya kuelezea uhusiano huo ulivyokuwa Mheshimiwa Ayila alimalizia kwa kusema yafuatayo: “Mheshimiwa Spika, ni vigumu kabisa katika hali ya kawaida kwa mtu yeyote kuamini kwamba makubaliano haya na uhusiano uliojitokeza hapa haukuwa wa hila. Chavda kwa kupitia wakili wake Nimrod Mkono, aliomba Mahakama Kuu kuzuia kabisa shughuli za Kamati (permanent injunction). Aidha ni wakili huyo huyo ambaye ameshuhudia uuzaji wa deni la Deco Art (reassignment) kwa Chavda. Mheshimiwa Spika, hali hii ukiitazama kwa undani utaona kwamba pengine kuna kitu kinafichwa. Nimrod Mkono alikuwa Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya Oxford Services Ltd. na pia anamiliki Kampuni ya Marcus Ltd., makampuni ambayo kwa pamoja yamefaidika kwa kuupata jumla ya Shs. 4,477,870,279.61 chini ya utaratibu wa DCP.”

7. NAZIR KARAMAGI

8. ROSTAM AZZIZ

9. EDWARD LOWASSA

10. BENJAMIN WILLIAM MKAPA

Benjamin William Mkapa alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia mwaka 1995 hadi 2005 alipomaliza kipindi chake cha pili. Ufisadi wote ulioelezewa katika waraka huu ulitokea wakati wa utawala wa Rais Mkapa na anawajibika nao moja kwa moja ama kwa kuubariki au kwa kuunyamazia. Zaidi ya hayo, kuna ushahidi unaoonyesha kwamba wakati akiwa madarakani Rais Mkapa alishiriki moja kwa moja au kwa kutumia ndugu na/au washirika wa karibu wa familia yake katika ufisadi mkubwa na uliolipotezea taifa fedha nyingi. Kwa mfano, wakati akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mkapa alitumia wadhifa huo kuhakikisha kwamba kampuni iitwayo Tanpower Resources Limited inamilikishwa asilimia 85 ya hisa za kampuni ya Kiwira Coal Mines Ltd. inayochimba mkaa wa mawe huko Kiwira Mkoani Mbeya. Hisa zilizobaki asilimia 15 zinamilikiwa na Serikali. Tanpower Resources Ltd. ni kampuni iliyoanzishwa kwa ajili ya kuinuifaisha familia ya Rais Mkapa na washirika wake wa karibu. Taarifa za BRELA zinazonyesha kwamba wakurugenzi wa Tanpower Resources Ltd. ni Anna Mkapa, mkewe Rais Mkapa, Nicholas Mkapa, mtoto wa Rais, Bwana Joseph Mbuna, wakili wa kujitegemea na baba mkwe wa Nicholas Mkapa, Daniel Yona, Waziri wa Nishati na Madini wakati wa utawala wa Rais na bwana Joesph Mapundi. Baada ya Tanpower Resources Ltd. kutwaa umiliki wa Kiwira Coal Mines Ltd. kwa nguvu za Ikulu ya Rais Mkapa, iliingia mkataba na Shirika la Ugavi wa Umeme nchini TANESCO wa kujenga mtambo wa kuzalisha umeme kwa kutumia mkaa wa mawe na kuiuzia umeme TANESCO. Mkataba huo utainufaisha kampuni ya Kiwira Coal Mines Ltd., na kwa hiyo Rais Mkapa, familia na washirika wake wa karibu kwa kiasi cha dola za Marekani milioni 271 kwa wakati wote wa mkataba

11. RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE

Rais Jakaya Kikwete amekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuanzia Desemba 2005. Kabla ya kuwa Rais, Mheshimiwa Kikwete alikuwa Waziri wa Mambo Nje na Uhusiano wa Kimataifa kuanzia 1995 hadi 2005, Waziri wa Fedha 1994 hadi 1995 na Waziri wa Maji, Nishati na Madini kuanzia mwaka 1990 hadi 1994. Kama Waziri wa Maji, Nishati na Madini, Mheshimiwa Kikwete alishiriki moja kwa moja katika kusaini mikataba mibovu ya madini na makampuni ya madini ya kimataifa ambayo kwayo taifa limeendelea kupoteza utajiri mkubwa na kuinyima Serikali uwezo wa kifedha wa kuhudumia wananchi. Kwa mfano, mnamo tarehe 10 Aprili 1990, Major Jakaya Mrisho Kikwete aliingia mkataba wa madini ya kampuni ya SAMAX Limited ambapo kampuni hiyo ilipewa leseni ya kuchimba dhahabu katika eneo la Lusu, Wilayani Nzega Mkoa wa Tabora. Matokeo ya mkataba huo, maelfu wa wachimbaji wadogo wadogo wa dhahabu waliokuwa eneo hilo waliondolewa kwa nguvu na vikosi vya FFU na bila ya kulipwa fidia yoyote. Hadi leo wananchi hao hawajalipwa fidia yoyote licha ya miaka zaidi ya kumi ya kufuatilia haki zao. Baada ya kutwaa utajiri wa dhahabu wa eneo hilo, SAMAX Limited iliuza eneo hilo kwa kampuni ya Ashanti Goldfields ya Ghana kwa dola za Marekani milioni 253. Ashanti Goldfields nao wakauza eneo kwa kampuni ya Resolute Limited ya Australia kwa kiasi kisichojulikana cha fedha za kigeni. Resolute Limited ndio waliojenga na wanamiliki Mgodi wa Dhahabu wa Golden Pride ulioko eneo la Lusu, Nzega hadi sasa na ambao ulifunguliwa mwezi Novemba 1998.
Mnamo tarehe 5 Agosti 1994 Luteni Kanali Jakaya Mrisho Kikwete aliingia tena mkataba na kampuni ya madini Kahama Mining Corporation Ltd., kampuni tanzu ya kampuni ya Sutton Resources ya Canada. Ijapokuwa mkataba huu unaonyesha wazi kwamba ulikuwa unahusu eneo la Butobela Wilaya ya Geita Mkoani Mwanza, mwezi Agosti mwaka 1996 Kahama Mining Corporation wakisaidiwa na vikosi vya FFU walivamia eneo la Bulyanhulu, Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga na kuwaondosha kwa nguvu watu takriban laki nne waliokuwa wakiishi na kuchimba dhahabu katika eneo hilo. Baada ya kutwaa eneo hilo kwa nguvu za kijeshi, Sutton Resources iliiuza Kahama Mining Corporation na Bulyanhulu kwa Kampuni ya Dhahabu ya Barrick Gold Corporation ya Toronto, Canada kwa dola za Marekani milioni 280. Leo hii Bulyanhulu ni moja ya migodi tajiri kwa dhahabu katika Bara la Afrika

Saturday, September 23, 2017

ACCESS TO JUSTICE IN TANZANIA: POLICE INTELLECTS IN TANZANIA: AN EYE TO THE CRITI...

ACCESS TO JUSTICE IN TANZANIA: POLICE INTELLECTS IN TANZANIA: AN EYE TO THE CRITI...: INTRODUCTION Safety in favor of the independent mind in Tanzania is in the brink, it has disappeared. Lives had been lost and individuals ...

POLICE INTELLECTS IN TANZANIA: AN EYE TO THE CRITICS ONLY

INTRODUCTION Safety in favor of the independent mind in Tanzania is in the brink, it has disappeared. Lives had been lost and individuals had disappeared forcefully and neither murder nor enforced disappearance or assassination attempt has been or are going to be prudently investigated or its report put in public and bring the responsible perpetrators into into account. The murder, assassination attempt and disappearance happens in peacetime, when one would expect the rule of law to triumph and to see law enforcers earn their money by doing their job honestly. The citizens would expect to be entitled to know how and why our colleagues were killed, disappeared and assassinated, who has been or will be held liable for their deaths, attempt assassination and disappearance and to what extent those tragedies were connected with the victims’ views about the issues encountered by our nation for the recent years. Since the ascendance of power of Magufuli, there has been a rise in repression with disappearance of these who criticized his PhD status, opposition meetings banned, newspapers shut down and journalists, artists threatened for criticizing his administration and now gun attack against the most dependable lawmaker in the state capital become the recent alternative to shut down criticism on the growing authoritarianism. BEN FOCUS RABIU WA SAANANE Take the example of the abduction and enforced disappearance of BEN RABIU FOCUS WA SAA NANE, whose name is on the victims’ list and whose disappearance was mourned by the entire nation. Yet, after almost one years that we count his absence, the enforcement machinery reached nowhere to bring the perpetrators of the heinous act into books. There is something apparent, the disappearance has lot to do with his activism and analysis that almost catched public opinion from thousands of Tanzania of all cadres and walks of lives in regards to Magufuli personal Academic certificate authenticity (PhD ya Korosho as Ben simply put it). Almost two month before the disappearance, Ben was active on social media criticizing the modalities from which, Magufuli PhD was attained. While Ben pat back the scrutiny of the academic certificate initiated by Magufuli himself, he was of different opinion and straightforward, all public workers and leaders of all walks of life Magufuli inclusive must be subject to the scrutiny. Less than five days before the report of his disappearance, Ben posted the threats to his life levied against him for publicly criticizing the president academic career. Through his facebook account he made it public that, his life are in danger, and posted one of these sms threatening him, he also reported the threat to the police. The police did nothing and as of now, the IGP is of the opinion that, they expect the well wishers to provide crucial information to get them trap these responsible. They are resting, waiting the well wishers to avail the information. TUNDU LISSU ATTEMPT ASSASSINATION IN THE STATE CAPITAL The lawmaker, the most fierce critics of the Magufuli government, Tundu Lissu, has had a series of face-offs with the government before the shocking assassination attempt. Lissu has been arrested at least seven times within eghth month of 2017, accused of insulting the president and disturbing public order, among other charges. Lissu accused Magufuli of building "a system based on favoritism, nepotism, tribalism and regionalism." For these opinion he faces a "hate speech" charge for his "insulting words that are likely to incite ethnic hatred,". At times, Lissu accuses and criticised Magufuli for creating "climate of fear which reigns everywhere." His most recent arrest before the gunshot were in July, charged with hate speech after calling Magufuli a "dictator" and in August after revealing that a plane bought for the national carrier had been impounded in Canada over unpaid government debts. The police intellects perceived his press release on the Bombardier scandal as an incitement and seditious that deserve him to be behind bars. Lissu statement was subsequently approved by the government spokesperson one day after but accused to have been liaising with the purported enemies of the state. Something of crucial imperative is that, in the same press that Lissu talked about bombardier, he publicly accused persons send by IGP SIRRO and the head of State intelligence unit Mr Kipilimba to have been hunting him everywhere including holly places as in churches for almost more than three weeks. This was more or less three weeks before the shocking attack which suggest, the lawmaker for more than six weeks was running against his assailants baptized by the law enforcement as “unknown people (watu wasiojulikana)”. Prior to gunshot attack, president Magufuli himself said it in public these turning hostile against the (hopeless) movement he initiated, police knows how to deal with them, “you will not survive”. After the information become viral that the Lawmaker was attacked by gunmen but alive, Magufuli purportedly condemned the shooting and ordered the country’s security forces to investigate the incident. Magufuli statement on tweeter said “I have been saddened by reports of the shooting of Hon. Tundu Lissu. I pray for his quick recovery,” “Law enforcement agencies should hunt down all those involved in this barbaric act and bring them to justice.” This statement remind the 1991 statement issued by the then president of Kenya Arap Moi on the disappearance of the foreign minister Robert Ouko Nothing was heard thereafter from him about the incidence but these below him in the executive and the titular leaders of the other arms of the government either tried to delay serious attempt to rescue his life or come in public to condemn the call for the independent probe on this heinous conspiracy, unfortunately, the Country CJ joined the crusade to interrupt any international probe that had been called in regards to the attack. The same CJ almost one week before the gunshot attack, issued the statement that, these who will join the Law society president on the strike call upon the bombing of the IMMA Advocates will be haul over the coals. Any sane person must have seen the CJ comment as injudicious, imprudent and unexpected to be uttered from the mere judicial officer leave alone the CJ. Giving regards to the circumstance of the attack and the subsequent contact of the entities accused by the lawmaker before the foreseeable attack, one may easily approve the CHADEMA's vice president Abdallah Safari who said the "only inference for ordinary Tanzanians is that the police and the government are involved in this attempted assassination". By all sense of possibilities, the law enforcement with President John Magufuli personally keen consultation played a role in the gun attack that wounded an outspoken politician, the chief legal advisor of the main opossitional party, the most reputable lawmaker in the history of the country, the chief whip of official opposition, the president of the law society, a fierce critic of President John Magufuli’s government and one of the most eminent lawyer and activist in the country. The subsequent demeanor of the titular leaders of the government arms is suggestive, all arm of the government seems were involved in the heinous conspiracy that tested the life of Law Society president. What is unknown is who was holding a gun and shoot but who send them they are very much known and it’s the government high official approved by Magufuli personally. Other incidences THE ATTACK ON IMMA ADVOCATES MURDERS NOT PROBED i. THE MURDER OF ALPHONCE MAWAZO ii. DR MVUNGI iii. PROF MWAIKUSA iv. MWANDISHI GAZETI LA RAI DAUDI MWANGOSI THE ATTACK OF OTHER CRITICS i. ULIMBOKA ii. ABSALOM KIBAMBA CHARGES AND INTEROGATION OF HUMAN RIGHT DEFENDERS i. Onesmo Olengurumwa

Thursday, September 7, 2017

Tanzania: Opposition MP Tundu Lissu wounded by gunmen

Top opposition figure suffers multiple gunshot wounds by unknown attackers at his residence in Dodoma city. The motive of the shooting was unclear [File: AFP] A prominent opposition member of parliament in Tanzania has been shot and "seriously wounded" by unknown attackers at his residence in the administrative capital, Dodoma, according to officials. Tundu Lissu, 49, underwent emergency surgery after being shot in the abdomen on Thursday. James Kiologwe, a doctor at Dodoma regional hospital, said he was in stable condition. "Lissu has suffered multiple gunshot wounds," Tumaini Makene, spokesman for the main opposition CHADEMA party, said shortly after the incident. "We strongly condemn this attack and are closely monitoring his condition." Mwigulu Nchemba, Tanzania's home affairs minister, confirmed the incident and Lissu's condition, adding that the government would issue a statement after receiving a medical report. The motive of the shooting was unclear. Gilles Muroto, regional police commander, said an investigation was under way. "We are asking fellow citizens with information to help us," he said, adding that initial enquiries were focusing on a car believed to had followed Lissu to his home. Fierce critic Human rights groups condemned the shooting as a "cowardly attack". "This cowardly attack on one of Tanzania's most fearless and prominent politicians raises concerns about the safety of all dissident voices in the country, at a time when space for dissent is quickly shrinking," said Sarah Jackson, of Amnesty International. "This heinous crime must not be swept under the carpet ... The authorities must take steps to reassure Tanzanians and the world that his shooting was not politically motivated." Lissu, a fierce critic of President John Magufuli and his government, is the president of the Tanganyika Law Society. He has previously been arrested by police on several occasions and charged with incitement. In July, he was arrested and later released after having called Magufuli a "dictator" over alleged attacks on the opposition and the media.

Magufuli central critic, Opposition lawmaker Tundu Lissu shot, wounded in Tanzania: Party

Tanzanian opposition lawmaker Tundu Lissu, a fierce critic of President John Magufuli's government, was shot and wounded by unknown assailants at his residence in the administrative capital Dodoma on Thursday, his party said. "Lissu has suffered multiple gunshot wounds and is being treated at the main public hospital in Dodoma," Tumaini Makene, spokesman for the main opposition CHADEMA party, said. CHADEMA said in a separate statement the incident took place at his Dodoma residence on Thursday afternoon. "We strongly condemn this attack and are closely monitoring his condition," the statement said. Lissu, who is also the president of the Tanganyika Law Society and opposition chief whip in parliament, has previously been arrested by police on several occasions and charged with incitement. He was arrested in July and later released after having called Magufuli a "dictator". The motive of the shooting is unclear. Tanzania police's spokesman was not immediately available for comment.

Wednesday, July 5, 2017

ACCESS TO JUSTICE IN TANZANIA: MAGUFULI ANAPULIZA NA KUVUTA JUU YA MAKINIKA (Is p...

ACCESS TO JUSTICE IN TANZANIA: MAGUFULI ANAPULIZA NA KUVUTA JUU YA MAKINIKA (Is p...: Watu wengi wamepongeza jpm kwa kazi nzuri juu ya uchotwaji wa madini nchi hii uliosababushwa na sheria zilizopitishwa gizani na serikali ya ...

ACCESS TO JUSTICE IN TANZANIA: DR MWAKYEMBE, A TAINTED CAREER? OR UNFAITHFUL EXPE...

ACCESS TO JUSTICE IN TANZANIA: DR MWAKYEMBE, A TAINTED CAREER? OR UNFAITHFUL EXPE...: DR MWAKYEMBE, A TAINTED CAREER? OR UNFAITHFUL EXPERT; COMMENT ON DR MWAKYEMBE GRUDGES ON LISSU FAIR COMMENT IN REGARDS TO MAKINIKIA SCANDAL...

THE NATURAL WEALTH AND RESOURCES (PERMANENT SOVEREIGNTY ACT) 2017 and its sister Contract Re-negotiation that we had been told it's for protection of our minerals the devil lie in the definition of what we are busy protecting.

THE NATURAL WEALTH AND RESOURCES (PERMANENT SOVEREIGNTY ACT) 2017 and
its sister Contract Re-negotiation that we had been told it's for
protection of our minerals the devil lie in the definition of what we
are busy protecting.

"Natural wealth and resource means all
material and substance occurring in nature such as soil, subsoil,
gaseous and water resources, and flora and fauna, genetic resources,
aquatic resources, micro organism, air space, rivers, lakes, and
maritime space, including the Tanzania
territorial sea and continental shelf, living and non living resources
in the economic Exclusive Zone which can be extracted, exploited or
acquired and use economic gain whether processed or not".



A very smart person sat down, use the very humble and generous
language, construct the two laws to enforce the Constitution only to
omit what ought to be included. This isnt an oversight na kama ilikuwa
then wataona in the committees.

The certificate of urgency is for MAKINIKIA (mchanga) AGAIN not minerals and petroleum as they want us to believe.


and the Miscellaneous Amendment law 2017 also brought under urgency
affirm the ghost urgency laws on natural resources when stating the
pre-existing contract and agreement remain in force. Wa kushangilia na
washangilie but the naked truth is, though the substantive part of the
Natural wealth laws are wonderful in protecting some resources the so
called minerals are not protected

ACCESS TO JUSTICE IN TANZANIA: Here Am in MA Blog!! Welcome all members to visits...

street lamps in St Peter’s Square were erected my Mussolini’s fascists.
Seems we celebrate with gusto the lamps by another Mossolin.


ACCESS TO JUSTICE IN TANZANIA:

ACCESS TO JUSTICE IN TANZANIA: Here Am in MA Blog!! Welcome all members to visits...

THE NATURAL WEALTH AND RESOURCES (PERMANENT SOVEREIGNTY ACT) 2017 and
its sister Contract Re-negotiation that we had been told it's for
protection of our minerals the devil lie in the definition of what we
are busy protecting.

"Natural wealth and resource means all
material and substance occurring in nature such as soil, subsoil,
gaseous and water resources, and flora and fauna, genetic resources,
aquatic resources, micro organism, air space, rivers, lakes, and
maritime space, including the Tanzania
territorial sea and continental shelf, living and non living resources
in the economic Exclusive Zone which can be extracted, exploited or
acquired and use economic gain whether processed or not".


A very smart person sat down, use the very humble and generous
language, construct the two laws to enforce the Constitution only to
omit what ought to be included. This isnt an oversight na kama ilikuwa
then wataona in the committees.

The certificate of urgency is for MAKINIKIA (mchanga) AGAIN not minerals and petroleum as they want us to believe.


and the Miscellaneous Amendment law 2017 also brought under urgency
affirm the ghost urgency laws on natural resources when stating the
pre-existing contract and agreement remain in force. Wa kushangilia na
washangilie but the naked truth is, though the substantive part of the
Natural wealth laws are wonderful in protecting some resources the so
called minerals are not protected.
ACCESS TO JUSTICE IN TANZANIA: Here Am in MA Blog!! Welcome all members to visits...: Here Am in MA Blog!! Welcome all members to visits ma blog!!!!

Monday, June 26, 2017

ACCESS TO JUSTICE IN TANZANIA: DR MWAKYEMBE, A TAINTED CAREER? OR UNFAITHFUL EXPE...

ACCESS TO JUSTICE IN TANZANIA: DR MWAKYEMBE, A TAINTED CAREER? OR UNFAITHFUL EXPE...: DR MWAKYEMBE, A TAINTED CAREER OR UNFAITHFUL EXPERT; COMMENT ON DR MWAKYEMBE GRUDGES ON LISSU FAIR COMMENT IN REGARDS TO MAKINIKIA SCANDAL ...

DR MWAKYEMBE, A TAINTED CAREER? OR UNFAITHFUL EXPERT; COMMENT ON DR MWAKYEMBE GRUDGES ON LISSU FAIR COMMENT IN REGARDS TO MAKINIKIA SCANDAL

DR MWAKYEMBE, A TAINTED CAREER? OR UNFAITHFUL EXPERT; COMMENT ON DR MWAKYEMBE GRUDGES ON LISSU FAIR COMMENT IN REGARDS TO MAKINIKIA SCANDAL BY Joseph Moses Oleshangay Dr Harrison George Mwakyembe in his 7 minutes contribution in the house, at first he pat on the back the proposed budget for the year 2017/18. Also applaud the incumbent president for the allegedly diligent scrap for equality, rights, freedom striking a chord on Nyerere times citing among many, Nyerere breaking diplomatic ties with UK on 16th December 1965 for UDI issue, the like to East German during the post Union between Tanganyika and Zanzibar and describe JPM as starling as Baba wa Taifa “what a doomed comment”. He desperately alleges that we need 1. Watu 2. Ardhi 3. Siasa safi 4. Uongozi safi Yes we need them, tuna watu, Ardhi ila hatuna siasa wala Uongozi safi, and the like of Mwakyembe ndio sampuli ya siasa holela I term it desperate because Dr Mwakyembe isn’t principled, isn’t reliable to stand to what he says. He turned to MAKINIKIA scandal and as expected for the like of him, he throw his stones non but the true comrade against the Investment, Mining law, maladministration, the true Human right and environmental Advocate non other that TUNDU ANTIPAS MUGWAI LISSU purportedly as pro investors and western associates and describing him as fearful na kuwa anatishia NYAU through MIGA convention. Lisu alisema 1. Turekebishe sheria zetu mbovu 2. Turekebishe mikataba 3. Tuwalazimishe kujenga melting intustries 4. Tupige marufuku cerificate of urgency in legislative process akaitwa mnafki, msaliti, and other bad names Dr Mwakyembe anasema “IN CASE OF ANY ARBITRATION TANZANIA ITASHINDA KESI MAPEMAA” HATUWEZI KUSHINDWA KESI ending describing Lissu as Mamluki in the allegedly “THE ECONOMIC WAR” vita ya kiuchumi. Anasema Haiwezekani kampuni like WILLIAMSON DIAMOND kwa miaka 77 haipati faida lakini in Botswana the profit by the same company is usual. To Dr Mwakyembe MIGA is the normal and obvious agreement that has no detriment to the undertaking in progress “ni sawa na mikataba mengine” citing Article 11 and 12 of the MIGA Convention as in favor of Tanzanian. This isn’t true also. Kachukizwa kusikia report tabled is “Takataka” anatuaminisha kuwa Convention on sale of goods, unfair commercial code (UCC) all requiring good faith between the contracting parties and are in our favor kwa sababu tumedanganywa by the wawekezaji. Dr Mwakyembe anasema ukitaka kutumia MIGA CONVENTION “YOU MUST RESPECT LAWS OF THE HOST COUNTRY” NI LAZIMA WAWEKEZAJI WAHESHIMU SHERIA ZA NCHI WANAKOWEKEZA” Dr Mwakyembe hakusema ni sheria gani hizo but it must be the law relating to i. Investment and ii. mining Dr Mwakyembe anasema tukishindwa hii kwa sababu ya MIGA tutakuwa tumesungukwa na akina YUDA ISKARIOUT wengi and he is thankful that they are few To Dr Mwakyembe, we have good laws, no loopholes and that the investors are not adhering to them ndio maana tumefika huku tunapoita vita ya kiuchumi. The laws that Dr Mwakyembe is assuring us that we will win the arbitration battle early before the sun rise are A. INVESTMENT ACT As its preamble makes clear, this Act was enacted in order to provide for more favourable conditions for investors. This is done with extraordinary kindness. The investors are, for instance, given very liberal incentives, which term is defined by the Act as tax reliefs and concessional tax rates which may be accessed by an investor under the Income Tax Act, 1973, the Customs Tariff Act, 1976 and the Sales Tax Act, 1976 and any other law for the time in force and includes additional benefits that may be accessed by an investor under sections 19 and 20 of the Investment Act. Now turning to section 19 and 20 the godly law in Dr Mwakyembe perceptions states 19(1) A business enterprise in respect of which a certificate is granted under this Act shall be entitled to the benefits which are applicable to that enterprise under the provisions of the Income Tax Act, 1973, the Customs Tariff Act 1976, the Sales Tax Act, 1976, or of any other written law for the time being in force. Lisu anasema ni takataka kwa sababu the proposal are not going to the root of the problem, the problem is our laws, the contract we entered with investors under Ben regime but the useless Mwakyembe is accusing Lissu to be the investor associates and fearful. The worse is yet to be seen in our laws, the same investment Act under section 19 (2) states among others “For the purposes of creating a predictable investment climate, the benefits referred to under sub-section (1) shall not be amended or modified to the detriment of the investors enjoying those benefits”. What is this meant? That our laws cannot be amended for the determent of the investor business? Can Dr Mwakyembe use this provision to win the battle before the sun rise? Ni nani anaogopa wawekezaji? Watu wanasikiliza kelele without going to the root of things Kama hiyo haitoshi, the investors if wishes may apply to the minister and be granted again other benefits to the investors in supplement of the one above mentioned in section 19 as designated in section which avers that 20.-(I) For the purposes of promoting identified strategic or major investments, the Minister, may, by order published in the Gazette, for after consultation with appropriate government authorities and after consultation with the Minister of Finance, specify specific in addition to the benefits provided under section 19 of this Act for any period which the Board may specify. Na ikitokea the responsible minister is so wise, patriotic, principled that he cannot agree with additional benefits reapplied by the investor in supplement to the one specifically provided by the investment law, then the Minister is obliged to remit the matter to the president for consideration (in most case to grant the applied benefits) as stated under subsection 2 of the section 2o which states; (2) Where the Ministers do not agree on any issue or matter in accordance with the provisions subsection (1); the Minister shall within one month from the date of the consultations referred to in subsection (1), submit the matter to the President for consideration. This law along other two bills were passed in a single day in 1997 and the persons who brought us into this mess we are told tumpe muda wa kupumzika baada ya kazi njema aliyoifanyia hili taifa by the person described by Dr Mwakyembe as starling, principled na mzalendo The Good law that Mwakyembe assure us that the investors must respect as a condition precedent to access MIGA benefits states is assured and guaranteed unconditional transferability 'through any authorized dealer bank in freely convertible currency including “ net profits or dividends attributable to the investment, payments in respect of loan servicing where a foreign loan has been obtained, royalties, fees and charges in respect of any technology transfer agreement registered under this Act;, the remittance of proceeds (net of all taxes and other obligations) in the event of sale or liquidation of the business enterprise or any interest attributable to the investment and payments of emoluments and other benefits to foreign personnel employed in Tanzania in connection with the business enterprise”. The above is kindly afforded to investors under Under section 21 of the investment Act. In simple language unconditional transferability means the investors are at liberty to repatriate outside Tanzania 100 percent of whatever profits and related income they make out of the country s mineral wealth and in freely convertible foreign currency The Law markers majority of them affiliated to Mwakyembe political wing further assured the investors under section 22 that no investor property or income including “MAKINIKIA” will be seized, nationalized or expropriated by the Government and in case on any then it must be with 22(2) (a) Payment of fair, adequate and prompt compensation, and (b) a right of access to the Court or a right to arbitration for the determination of the investor's interest or right and the amount of compensation to which he is entitled. (3) Any compensation payable under this section shall be paid promptly and authorization for its repatriation in convertible currency, where applicable, shall be issued In case of Dispute for Dr Mwakyembe to employ his expertise in law and win before the sun rise the following must employed in dispute settle the dispute per the law in regards to section 23.— (l) Where a dispute arises between a foreign investor and the Centre or the Government in respect of a business enterprise, all efforts shall be made to settle the dispute through negotiations for an amicable settlement. Settlement of disputes (2) A dispute between a foreign investor and the Centre or the Government in respect of a business enterprise which is not settled through negotiations may be submitted to arbitration in accordance with any following methods as may be mutually agreed by the parties, that is to say- (a) in accordance with arbitration laws of Tanzania for investors; (b) In accordance with the rules of procedure for arbitration of the International Centre for the Settlement of Investment Disputes; (c) Within the framework of any bilateral or multilateral agreement on investment protection agreed to by the Government of the United Republic and the Government of the Country the Investor originates. The Investment Act expressly excludes foreign investment in the mining sector or oil exploration, production or transportation from its application. Nevertheless, investors in the mining sector or oil production are entitled to all the benefits, entitlements and protections afforded to all other investors that we have set forth above. According to section 2(3) of the Act, the provisions of Section 21 which relates to guarantees of transfer of capital, profits and dividends and Section 22 which relates to the guarantees against expropriation, shall apply to any business enterprise which holds a mineral right granted under the Mining Act, 1997. Then another law was brought in named Financial Laws (Miscellaneous Amendments) Act, 1997 with intention of protecting the investors. Conceivably to make it hard for people to understand the true import of this Act, its title and the very short preamble an Act to amend certain Financial Laws sound innocent enough. Its substantive provisions are, however, anything but innocent. But it relieved the liabilities of the investors from tax obligation. It allows them to pay taxes only when they declare profit. It wasn’t Tundu Lissu but Mwakyembe allies including his Boss The Financial Laws (Miscellaneous Amendments) Act, 1997 also amended the Immigration Act, 1995 to remove restrictions on employment of non-citizens in the mining sector. The immigration quota in respect of mining and petroleum operations shall be determined by the investor depending on the nature of the operations and not by the government. The Mining Act, 1998 over and done with the legal structural design under which Tanzania s mineral wealth has been handed over to foreign mining domination. The Act makes it far easier for foreign investors to gain access to, and complete control of, Tanzania s mineral resources. Chini ya sheria ya madini 1998 and its cosmetic amendment in 2010afford the holders of Mineral Rights are entitled to exclusive right of ownership of the mining operations and the minerals recovered as well as complete power to dispose of the said minerals including Makinikia recovered. Sheria ya madini ya 1998 na hata ile ya 2010 imeweka vipengele (section 10) in relation to financing of mining operations under a special mining license. These agreements may contain provisions binding on the United Republic which guarantee fiscal stability of a long term mining project with respect to the range and applicable rates of royalties, taxes, duties, fees and other fiscal imposts and the manner in which liability in respect thereof is calculated. Also, the Act sets the amount of royalty on the net back value of minerals that the government receives from the foreign investors at 5 percent in the case of diamonds and 3 percent in the case of other minerals. And in terms of section 87, the Minister is obliged to defer the payment of even this meager amount upon application by the investor that the cash operating margin of his operations has fallen below zero! Anachokisema Lisu ni takataka ni pale proposal zinazotolewa zinapokosa tija kwa taifa. Huwezi kuwa na sheria ambayo huwezi ku amend kisa unalinda interest za uwekezaji, huwezi kumaintain the oppressive laws kama hizi ukataka uungwe mkono. Kuna tatizo kubwa sana juu ya hiyo issue ya madini but the guys in the regime are politicising it. mosi tunaowaita watukufu walikuwa mawaziri wakati hiyo mikataba ikiingiwa, they had an avenue to advice them kama cabinet "sijui kama walishauri hawakusikilizwa" ni ukweli usiyopingika kuwa the Bulyanhulu, Nzega......... Goldmine aliesaign ni jk kama waziri na leo Mawiyo wamefungiwa kwa kumhusisha na hiyo mikataba hiyo nia iko wapi? Ben alikuwa in charge wakati mikataba tunayoambiwa ni mibovu yakiingiwa na wakati mwingine watu walipohoji kuwa mikataba ni ya ovyo akasema they are misusing the education they have. hata kama ana kinga ya kutokushtakiwa ana kinga ya kutokusemwa kwa madudu aliyoyafanya? hiyo nia ya kuokoa uchumi wetu iko wapi? sasa wengine washtakiwe kwa makosa gani wakati waliowatuma wanakingiwa? huo sio ubaguzi? is that not politicasion of the matter? Kwa nini waogope kuambiwa ukweli? akina chenge ni kuonewa tu kama wahusika wakuu hawataulizwa hata sababu ijulikane kwa nini waliamua kutenda hayo. tumeambiwa the two guys wametumikia nchi hii kwa uaminifu waachwe wapumzike...... uaminifu upi wakati yeye mwenyewe anasema tumeibiwa mno? tumeambiwa that ACACIA isn't registered na walivuna madini kwa miaka 19 unaongea nini na jambazi? mbona mawio hawakuongea nayo kabla ya kuwafungia? yahitaji uwe na moyo mkubwa sana kuamini kinachosemwa. But I am not a saint nor any of the jewish prophet may be Trillion 188 . Mgodi wa wezi umevamiwa na sasa akina Heche wanatafutwa kwa kuwahimiza kuvamia, si walisema ni wezi?

Friday, June 16, 2017

MAGUFULI ANAPULIZA NA KUVUTA JUU YA MAKINIKA (Is politicising the matter in regards to ACACIA Scandal): ANATAKA WAHUSIKA WADOGO WASHUGHULIKIWE SIO JK & BEN AMBAO NDIO MAPAPA

Watu wengi wamepongeza jpm kwa kazi nzuri juu ya uchotwaji wa madini nchi hii uliosababushwa na sheria zilizopitishwa gizani na serikali ya Ben Mkapa na baadae jk. Personally I doubt the so called honest undertaking by this guy, ni kweli hatua zinafaaa kuchukuliwa na ziwe kwa wote waliohusika as principals (king markers) ninashindwa kuelewa nia ya dhati kusafisha uovu huu wakati. Kwanza yafaa kutambua wezi wetu ni akina nani, ni waliosign mikataba ya kijinga na kupitisha sheria gizani. 1. Bunge linaendeshwa Gizani 2. anapofukuza wafanyakazi wenye vyeti feki na kuwaacha maswahiba 3. Waliohoji PhD yake badala ya kupewa majibu ni kupotezwa na wengine kusakwa na vyombo vya dola (jamii forum case) 4. Kumwelekeza spika kuwaziba midomo wabunge wanaohoji mienendo ya serikali yake 5. kutishia uhuru wa wanahabari na haki habari 6. kupiga marufuku haki ya vyama vya siasa ya kujumuika 7. kuhisi kuwa yeye ni Mungu asihojiwe. 8. Kukataa uwepo wa katiba itakayotibua maovu ya viongozi wa umma 9. Mienendo yanayoshabiahiana na ya kijerumani robo ya pili ya karne ya ishirini kama kweli kuna nia njema ya kusafisha maovu awachunguze a/ mawaziri wa nishati wote since jk 1994 with the IPTL b/ wanasheria wakuu wa serikali from 1994-2017 c/ Mwinyi, mkapa na jk najua watadai they are immuned but hata marufuku ya siasa is not in accordance with the law Turudi ya acacia Wanasema ACACIA IS NOT REGISTERED Swali ni je 1. polisi wetu walikuwa wapi wakati acacia wanachimba na kusafirisha mchanga? 2. polisi wa waliokuwa wakisaidia ulinzi wa mgodi wa walitumwa na nani? IGP kwa nini asikamatwe kwa kusaidia makampuni yasiyo na usajili? 3. serikali inamiliki HISA acacia swali ni je serikali yetu kwa nini haikulazimisha registration wakati ni mwana hisa? maana yake kila asilimia 100 ya wizi wa makinika 5% ilifanyika na serikali yetu 4. watu wa bandarini wanaponaje? 5. kamati ya Bunge ya nishati tuelewe nini? 6. usalama wa taifa hawakuona huo mgodi miaka nenda rudi? 7. TRA hawakuona chochote wakati wakilipa kodi? au kwa sababu sifa ya wabunge wetu ni kujua kusoma na kuandika wakahisi RAIA ni mbumbumbu kabisa hii ya makinika kama kuna cha maana kilichofanyika ni kuwaambia umma mnaibiwa. Solution ni kujenga mfumo unaoleta confidence. jpm isn't building anything rather destructing. huwezi sema washughulikiwe waliotumwa kusaign na sio waliotuma na muda huo unamwambia spika wanaodai mikataba iwe wazi na yajadiliwe Bungeni na wahusika wote bila kujali vyeo washughulimiwe wazuiwe na spika wasihoji bungeni na wakiwa wabishi waondolewe yeye ashughulikie nje. He isn't principled, you can't conspire against your own people then useme una nia njema kuna watu wamekuja na ujinga kuwa wanaokosoa modalities in place are suffering from ODD tusubiri that (ODD) that we don't even need its medications. nadhani kutoka budget ya Trilioni 31 mwakani wakiongeza malipo ya Acacia 188 Trillion itakuwa Triloni 220 ukijumlisha mapato yatakayoongezeka mwakani watasoma budget ya Trillion 230. Nadhani the so called poverty, ignorance, corruption, decease (including ODD), unemployment will remain history, tutasema hapo zamani za kale tulikuwa ulimwengu wa Tatu. tutajenga viwanda na kutoa misaada nje. then we will think of treating the ODD. but of now say it its ODD that's had borrowed from Kitila without and misused without acknowledging or the like I am too adamant to change. Uzalendo sio kumuunga rais kwa kila anachojifanya bali kuunga mkono ukweli (Roosevelt) Hiyo Tirlioni 188 tutasikilizia kwenye bomba. hata akiwa na mmiliki wa Barick wakati akiongea kiswahili alikuwa mkali ila alivyo switch kingereza akawa non partisa. can we believe on the rhetorics? dearly we cant, ni dhambi kujidanganya. tukiamini huo ni ukweli sometimes in future tutakuta huo sio ukweli. sijasema wizi haujafanyika in fact ulifanyika na bado unafanyika and the undertaking to carb the situation is too minimal. ACACIA are the bussiness entities wezi ni waliokubali kusign for the best interest known to them ila leo wanasema wasiulizwe wapumzike. Huwezi kuwa na mwizi wa miaka 19 anakuja na bonge la private jet mnakubaliana kukubaliana to negotiate na kuwaita really men kwa lipi? huku waliosign wakikingiwa kifua na tunaemtukuza kuwa anatenda. Is it another episod? kalianzisha na kuimaliza yeye mwenyewe. Kuna tatizo kubwa sana juu ya hiyo issue ya madini but the guys in the regime are politicising it. mosi tunaowaita watukufu walikuwa mawaziri wakati hiyo mikataba ikiingiwa, they had an avenue to advice them kama cabinet "sijui kama walishauri hawakusikilizwa" ni ukweli usiyopingika kuwa the Bulyanhulu, Nzega......... Goldmine aliesaign ni jk kama waziri na leo Mawiyo wamefungiwa kwa kumhusisha na hiyo mikataba hiyo nia iko wapi? Ben alikuwa in charge wakati mikataba tunayoambiwa ni mibovu yakiingiwa na wakati mwingine watu walipohoji kuwa mikataba ni ya ovyo akasema they are misusing the education they have. hata kama ana kinga ya kutokushtakiwa ana kinga ya kutokusemwa kwa madudu aliyoyafanya? hiyo nia ya kuokoa uchumi wetu iko wapi? sasa wengine washtakiwe kwa makosa gani wakati waliowatuma wanakingiwa? huo sio ubaguzi? is that not politicasion of the matter? Kwa nini waogope kuambiwa ukweli? akina chenge ni kuonewa tu kama wahusika wakuu hawataulizwa hata sababu ijulikane kwa nini waliamua kutenda hayo. tumeambiwa the two guys wametumikia nchi hii kwa uaminifu waachwe wapumzike...... uaminifu upi wakati yeye mwenyewe anasema tumeibiwa mno? tumeambiwa that ACACIA isn't registered na walivuna madini kwa miaka 19 unaongea nini na jambazi? mbona mawio hawakuongea nayo kabla ya kuwafungia? yahitaji uwe na moyo mkubwa sana kuamini kinachosemwa. I am not a saint nor any of the jewish prophet may be Trillion 188 tutalipwa tusubiri mwakani watangaze budget ya Trilioni 230 but I am quite adamant to believe on rhetoric, kuna muda kuwa Tomaso is the best choice